Duration 10:50

PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA FID Q

264 155 watched
0
1.7 K
Published 31 Jan 2017

Baada ya Godzilla kufungua Dimba kwa flow kali kwenye Dakika 10 za Maangamizi wiki iliyopita. Maombi ya wadau wa Planet Bongo yamezingatiwa na hatimaye Farid kubanda Fid Q amedhihirisha kwamba yeye ni nani kwenye Hip Hop. Nawe unaweza kupendekeza na ni afuate wiki ijayo kufanya Maangamizi.

Category

Show more

Comments - 215
  • @
    @cassim40276 years ago I think chidi benz won this 10min freestyle coz he didn' t stop from the first sec to the last sec. Chidi was amazing on this. Ni maoni yangu tu kama unafuatilia. 9
  • @
    @salumsazada65267 years ago The best of the best ever hphp artist in the world. The best fareed. 2
  • @
    @timothmwakakusyu45637 years ago Mwanahipop halis mwny uwezo wa kubadili fikra za werevu na kumfanya mjinga atathimini. Big up fid q. 13
  • @
    @abbasboniphace54447 years ago Yes this the only minute we all been waiting for u know this nigga is the living hip hop artist. 3
  • @
    @hashjamal60716 years ago Salute za kutosha kwa ngosha the don fid q. 2
  • @
    @joelbulili47607 years ago Dah. Uyu jamaa ni matatizo kabisa kwa tz sijaona mwana hip hop wa mistari ya akili kama huyu jamaa
    big up ngosha.
    8
  • @
    @sehemunzuri6 years ago " changanya matako ili mavihaya maneno ya fidq. 9
  • @
    @victormushi8667 years ago Hii ndio show yanguvu respect fid q mwanaharakat katika daily life. 9
  • @
    @nyankongomakori49997 years ago Fid q hana mpinzani, real hip hop mc in the world. 2
  • @
    @sullepeter47227 years ago Kweli huu mtu kutoka sayar nyingne daa!
    big up sana fid qqq.
    2
  • @
    @wakatimankaya86227 years ago Njia pekee ya kukwepa ngoma ni kugoma kupima. 16
  • @
    @kaniyahiouise14745 years ago kama unamkubali fid q gonga like. 22
  • @
    @leganjoseph69497 years ago You are da best hiphop artist in da world fidq. 1
  • @
    @kassimmbondela92996 years ago Fid q we hauchani bari unakufuru yani unajua alafu unajua tena salut. 1
  • @
    @hassansadiki61637 years ago Nice fid
    tuletee slim sal tumsikie michano yake.
    7
  • @
    @ramadhanmohamed91307 years ago Hapana cjakubali kabsa nyimbo zote ni zile znazofanana. 1
  • @
    @gysevengeorge95497 years ago Ngoxha, ze don, unajua broo, respect tyu yu.
  • @
    @ombenmichael34737 years ago Cjawah kugoma kumskliza anachokichafanya for rely 1
  • @
    @omarshaggy46957 years ago Fid q mkali ila freestle haiiwezi naomba mwalike kaa la moto kiumbe tokea kenya awafunze real freestyle. 2
  • @
    @saulmwakyusa10017 years ago Fid q namkubali ilattftyrry tatizo lake freestyle zke ni za kuandika we kichwa tamaduni miusc mimi hapa. 5
  • @
    @ombenivasha73617 years ago Umetisha sana mwamba nakubali sana amini kwamba. Umetsha sana broo.
  • @
    @bakari_njobela3717 years ago Wiki ijayo itabidi hicho kiti akae niki mbishi. 12
  • @
    @officialkinghezekiah20947 years ago Dadeki fid q. Izo n sifa
    hawakuwez.
    2
  • @
    @radhemohan29286 years ago Njiaa pekee ya kuukwepa ukimwi n kukataa kupima. Aahhha fid shdaah. 1
  • @
    @adolfmathew85767 years ago Umejaribu ila kawaida xn. Mleteni apo eddy fire from ngarenaro km pimbi hajazima fegi. 1
  • @
    @amanichanga34486 years ago Dakika 10 za maangamizi
    ..
    1
  • @
    @davidmtwigu49967 years ago Hata hvyo ngosha unatisha sanaa ngoma zako mwisho.
  • @
    @sidemakuka28446 years ago Fid to a vitu kichwanii asilimia90 nyimbo zako. 1
  • @
    @justinnoderosa97 years ago Sijawai mdisi fid na sidhani kama itawai tokea. Big up bruder.
  • @
    @ntawurusigajaphet8135 years ago Eti njia ya keupuka ngoma ni kuepuka kupima. 1
  • @
    @suleymanahmad25877 years ago Fid kwny utungaj only huku waachie undergrounds. 1
  • @
    @mohamednamnuma97997 years ago Huyu jamaa alinifanya niache hiphop sababu nilijua anafanya zaidi ya like ntakachofanya nitaingia ktk hiphop iwapo huyu ngosha akistahafu anajua sana.
  • @
    @privinusdecroshan1356 years ago Fd na kakubal xana people from mwanza waga htukoxei. 1
  • @
    @saidalshaibany49867 years ago Fid q ni mzuri wa hiphop kwa kuandika mistari na sio mitindo huru kama kina king zilla na kina zaiid. 1
  • @
    @shaphyvuai68057 years ago Duh mistari imepita college tisha sana ngosha sanaa. 2
  • @
    @motowntv2087 years ago Freestyle niwengi wana uwezo wammoja wao.
  • @
    @djb2kzer06 years ago Kiukweli fid q vingine zalisha sasa kwani akujapatikna kama ww aiii yaqni ww nixhidaaa. 1
  • @
    @robertsylvester77287 years ago Fd q ana mistar migum san huwez kuifata kizembe.
  • @
    @AbdulAli-kq7mm7 years ago Safi kwa track zake kama fresytle hajatoa bt best in bongo. Fidq kisha nikki mbishi. Ndio maana hawamwiti kwa radio station. 4
  • @
    @patricknyakatama83747 years ago Free style ni kama kitambulushowatu kama unarap siyo urap sana ndo. 1