Duration 8:48

SIMBA YAANIKA WAZI MICHANGO/ MASHABIKI, WANACHAMA WAHAMASIKA/ TUTAWAPATIA RISITI

17 942 watched
0
90
Published 21 Dec 2021

Shilingi bilion 30 ambazo zinakadiriwa kuwa jibu sahihi la ujenzi wa uwanja huo ni nyingi sana, lakini kwa umoja na wingi wa wanachama na mashabiki wa Simba SC fedha hizo sio nyingi na zinaweza kupatikana kama wataweka dhamira ya kweli. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24news@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24Tz ⚫️ Facebook: @dar24news ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #uwanjasimbasc #michango

Category

Show more

Comments - 15