Baraza la kitaifa la makanisa-NCCK limetoa wito kwa rais Uhuru Kenyatta na jaji mkuu Martha Koome washauriane kwa dharura ili kutatua mzozo uliopo kati ya mamlaka kuu na idara ya mahakama. Katibu mkuu wa baraza la NCCK Rev. Canon Chris Kinyajui alionya kwamba malumbano ya hadharani kati ya nguzo hizo mbili za serikali yanaathiri taifa hili. Ben Chumba atuarifu.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #KBCNews #Kenya