RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Manispaa Mjini kuhakikisha watu wanaopatiwa nafasi ya kufanya biashara katika soko la Kibandamaiti ni wale waliolengwa pekee, ili kuepusha vurugu hapo baadae