Duration 12:39

Historia Ya WATANZANIA Waliopigana Vita Ya Dunia/ INASIKITISHA

155 573 watched
0
1.3 K
Published 2 Aug 2019

Historia Ya WATANZANIA Waliopigana Vita Ya Dunia/ INASIKITISHA! Vijana kumi na tano alfu kutoka Tanganyika, walikamatwa kwa nguvu kwenda kupigana vita ya pili ya dunia ili kuikomboa uingereza dhidi ya Adolf Hitler, vijana wakampoteza Hitler, waingereza wakapiga vigelegele, vijana wa kazi wakarudi nyumbani na majina ya kishujaa kufa maskini, sasa ni wazee, hawana nguvu tena, hawaoni vizuri,hawasikii vizuri, hawana kumbukumbu nzuri, hawana meno, wengi wamekufa na huzuni moyoni, hasira kichwani, ukata mifukoni, wamebaki 400 kati ya 13,000 waliorudi, mwenye umri mdogo ana miaka 92, wengi hatujui walipo kwa sababu hatuijui historia yetu, uingereza haijui walipo kwa sababu shukurani ya punda ni mateke. Wakati wanasagwa kwenda vitani aliyejifanya kukaidi alitupwa jela miezi sita na viboko juu, alivyotoka jela aliulizwa kuchagua kwenda vitani au kurudi jela tena miezi sita, wote walichagua kwenda vitani kupigana vita ambavyo havikuwahusu. Tatizo la wazungu bwana, wao wakizinguana wanasema ni vita ya dunia na kutulazimisha tukawasaidie, sisi tukizinguana wanasema ni vita vya ukabira na kuja kutuuzia silaha tuuane wao wachume kwa sababu kwenye vurugu pana ulaji. #vitayapiliyadunia #globaltv #historiazaviongozi #ananiasedgar /playlist?list ... /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

Category

Show more

Comments - 273
  • @
    @adriandema52815 years ago Africa. Kaka ananias edga mpaka hapa ulishanijuza mengi sana kuhisu africa yetu hii moja. Na unaendelea kinijengea uzalendo zaidi. Big up sana endelea ndugu . ...Expand 30
  • @
    @josephatkashendwa11775 years ago My brother from another mother i really admire u, kwa hili bro hili lifanyike uwasilishwe walaka maalumu kwenda kwa raisi, na nakala nyingine kuwasilishwa . ...Expand 1
  • @
    @henryhenry81504 years ago The sound good##
    big up my brother from another mother.
  • @
    @hermanstephenntabahungu53105 years ago Tukadai fidia.
    uishi miaka mingi aisee
    njia pekee ya kumsupport huyu brother from another mother ni kuhakikisha tunaangalia kila tangazo god bless you my brother from another mother. ...Expand
    22
  • @
    @allyderossi97425 years ago Ananias hv ww ni binaadamu wa kawaida kweli? Na hii fani kabla ya kuisomea hukuoteshwa ww? Mana hata kama story itakuwa ni mbaya vp kwa haa utaipenda 2uu, mshukuru sana mwenyezi wa yote hii ni zawadi kakupa toka kwake ya ucmulizi hongera sana nimekuelewa mwanzo mwisho na allah akujaalie uzd kupaa kimataifa zaid in-sha allah. ...Expand 32
  • @
    @mauwamwilongelwamlongelwa93644 years ago Nikweli kabisa mungu awaongoze na kuwapa maarifa mengi na kufikia kuudai fidia ya kuikomboa afrika. 1
  • @
    @rasihamsangi80845 years ago Mungu ibariki tanzania na afrika nzima, mungu akubariki mtangazajikileleni juu mbinguni chii nawapenda sana ndugu zetu mungu ametujalia kila la heri na baraka tuwe na imani na ndugu zetu0. 4
  • @
    @heraldloshi18645 years ago This is very true. Nili muonaga mjomba ake mama yangu mzazi kuleana sonono, muda wote. Kama vile kawatoto kijijini msema pekee. Kumbe ndo kile wataalam wa maswala yapost war trauma. Yaani sonono la ki vita. ...Expand 18
  • @
    @deadcrush5 years ago Sauti ya muziki wako wa nyuma umenikinaisha kusikiliza simulizi yako nzuri sana. Itapendeza sana uki ubadiliasha huo muziki (soundtrack) katika simulizi zako zijazo. Asante sana kaka. 2
  • @
    @yusufuheri6524last year Asante sana my brother from another mother.
  • @
    @godfreynyansira82275 years ago Nakupata vzuri sana, sichoki kukufatilia, najifunza mengi. 4
  • @
    @mulirohilary2095 years ago Mr denis u do fantastic work ur the best for me asanteni kwa research nzuli. 2
  • @
    @habibaramadhani4365 years ago Really ukiwa unatakaza waniacha hoi nice well done. 1
  • @
    @chidiomari.655 years ago Mzee unajua history, safi sana mungu akutunze ili uzidi kutufahamisha mengi tusiyoyajua.
  • @
    @mjuba5 years ago Unaongeaga vitu vyenye madini sana bro.Nakukubali
    nakuaminia shughulika na hili
    5
  • @
    @nzitogondwe99764 years ago Babu yangu mzee athumani mwahenya alie kua anaishi tukuyu mwakaleli alifwatilia sana hizo pesa mpaka amekufa hatujaona lolote ila waliwahi kuja kijijini . ...Expand 1
  • @
    @magnust.camingsoon96695 years ago Salute kwa hio story, hata wajerumani tunawadai br. 1
  • @
    @msemwawalter8375 years ago Napenda sana simulizi za huyu bwana, zina flow nzuri inayoeleweka kwa urahisi.
    pongezi sana, umebarikiwa.
    1
  • @
    @djuninhoramisos24535 years ago Be blessed saana ananias bro na global tv. Naelimika mengi kwa tafsiri ya ufaswaha na burudani hadi akili kuwa makini pindi unapo elezea. 1
  • @
    @danielmseti12775 years ago Asante san bro huko saw mungu akubalki kwa kuwakumbuka wazee wet.
  • @
    @BenMula3115 years ago Wapo sahii kabisa inabidi wadaiwe kweli. 2
  • @
    @giftnyakipande12535 years ago Africa tuna historia kubwa sanaa ila hatuna utunzaji wa kumbukumbu historia inapotea ivi dah toowetu watetewe jamn.
  • @
    @a04yuphilipo55 years ago Asante sana kaka kwa kunijuza na niko p1 na ww.
  • @
    @martinesizya2345 years ago Duh! Ananiah unatisha, nimekuelewa sana! 1
  • @
    @Abubakar-po4fn5 years ago Daah inasikitisha sana, wazee wetu wamekufa na wengne wapo mitaan wako hoi, namuona mzee mmoja ktk picha namfaham sana sasahv yuko kama kichaa pamoja na umr lakn huenda hili pia n sabab ya hili janga.
  • @
    @merdaniely47755 years ago Duh leo ndo nimekusikiliza vzr kaka, upo vizurii mnoo! Big up! 1
  • @
    @franknantalila15884 years ago Ukisoma vizuri historia wazungu hawakufaa kuwa ata hapa africa ni wapuuzi sana.
  • @
    @mirajrojas29625 years ago Tunaita talanta au talent ambayo nikutafsiri tofauti kabisa. 1
  • @
    @micamathew64335 years ago Twendeni tukadai fidia yetu. Nadhani umeona jinsi tanganyika ilivyokuwa na nguvu kipindi kile cha vita vya pili vya dunia. Hiyo ni kwasababu ya umoja na . ...Expand
  • @
    @ommyathumani72645 years ago Huwa nikisikiliza tarifa zako huwa naingiwa na huzuni sana hasa sisi wa africa. 1
  • @
    @samwelmadaraka15215 years ago Kweli walitexeka xana ila selikali yetu ndohivyo polen wazee we2 mungu atawalipia. 1
  • @
    @zubedasaid59625 years ago Asanteni sana global tv, napenda kuleta maombi yangu mtuletee history ya kasanga tumbo, wengi wetu tumesikia tu story za vijiweni kuwa aliwekwa kuzuizini . ...Expand
  • @
    @iginasihuseni9945 years ago Hongera msimlizi jitihada gani tuchukue ilitufikie maamzi haya hata babu zangu watatu walikua huko vitani.
  • @
    @salumkhamis78185 years ago Umetishamnamzika kwa mbwembwe wakati alikufa kwa kukosa kidonge cha 500 duh uwezo mkubwa wa kujieleza.
  • @
    @mtatiromgeka72704 years ago Kwa hili ni kweli kwa histolia hio babu yng alikua ruban kwenye vita hio. Dah jamn.
  • @
    @ujanjamedia78135 years ago Nakukubali sana mzee baba wazungu sio watu wanatuuwa kila kukicha tuludi kwenye asili yetu kama china. 1
  • @
    @nestomuna3505 years ago Kwelivingi vingine vya kwelialionwa alie torosha ndege kutoka kenya. Hawa hawajulikani. 4
  • @
    @saidhamisi34685 years ago Dah wee mtu mungu akuweke sana duniani mana unanikosha roho sana mungu akubaliki kaka japo watu wenyewe unaetwambia yanapitauku yanatokea uku bule kabisa! 5
  • @
    @dmxtrezer98495 years ago Yani niuzuni sana kila siku mmi uwa nasema ningelikua na uwezo ningetetea wanyonge wote dunia ningepunish kila mtu mwenye anatesa wanyonge na kupatia wanyonge aki yao. 6
  • @
    @edwardmasanja44565 years ago Amahakika inaumiza sana! Imebaki kuweka siku ya kumbukumbu ya mashujaa tu baada ya hapo hakuna anaewakumbuka. 1
  • @
    @hamadali50625 years ago Ni history nzuri sana. Kuna mzee tulikuwa tunaishi nae yeye alikuwa katika jeshi la wingeleza alipelekwa mpaka palestina. Sasa wacha tuulizane nikitu gani . ...Expand
  • @
    @chuwaloonlinetv66725 years ago Acha leo nami nicoment kwan huwa nafuatilia sana hizi makala g.
  • @
    @lamecksanga93655 years ago Wazee hawa nii hatari wapewew heshima tu.
  • @
    @MaleFuraha-go8jvlast year Iyo nimeikubali vp mimi niwakwanza kudai haki zzetu.
  • @
    @allysamba16955 years ago Mzazi tukadai fdia zetuediga mie sikupingi habali zako.
  • @
    @japhetisraelsmafie9975 years ago Broo uko sawa sema tu tukienda tu kuidai ndo vita ya utatu mtakatifu inatokea.
  • @
    @ommyomhs93674 years ago Ananiasi edgar nawezaje kupata update za story zako zaidi?
  • @
    @keyakeya89115 years ago Duh yani hata babu yangu alipigana vita hii lakin hakupata kitu chochote. 2